Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Wakala ya Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA)

Dira

Dira ya FETA ni "Kuwa kitovu cha Utoaji Elimu na Mafunzo Bora ya Uvuvi na Ufugaji Samaki Afrika, Kusini mwa Jangwa la Sahara".